Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

SECOND SELECTION KIDATO CHA TANO 2018/2019

Leo kumekuwa na habari za kuwekwa majina ya wanafunzi waliobahatika kujiunga Kidato Cha tano awamu ya pili ambapo wanafunzi hao wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangiwa mapema mwezi huu September kwa kuona majina tazama HAPA

Serikali imeajiri walimu secondari na shule za msingi

Serikali inatarajia kuajiri Walimu 92 wa Shahada na 174 wa Stashahada wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Kilimo na Biashara kwa Shule za Sekondari na Walimu 2,767 wa Cheti kwa Shule za Msingi. Waombaji kwa shule za Sekondari wawe waliohitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2016 au kabla, na wale wa Shule za Msingi wawe waliohitimu mafunzo yao mwaka 2014 au kabla.  Sifa za Waombaji: Walimu wa Sekondari: Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo moja la kufundishia au zaidi au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo moja la kufundishia au zaidi pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali. Masomo ya kufundishia ni kati ya Fizikia, Hisabati, Kilimo au Biashara.Stashahada ya Ualimu katika masomo yaliyoainishwa kwenye kipengele Na. 2.1 (i) hapo juu.Cheti cha Kidato cha SitaCheti cha Kidato cha Nne Walimu wa Shule za Msingi: Astashahada ya Ualimu...

Nafasi za masomo chuo cha mwalimu nyerere memorial academy

Je una ndugu jama rafiki aliemaliza kidato cha sita na anahitaji kujiunga na chuo? basi habari njema ni hizi chuo cha mwalimu nyerere memorial academy kinatangaza udahili wa wanafunzi mwaka wa masomo 2017/2018 chuo kipo kigamboni dares salaam, pia kingine kipo zanzibar habar njema ni kwamba ukiomba tu! umesajiliwa ili mradi umekidhi vigezo vya kuingia chuo kikuu au waweza ingia mnma.ac.tz.kwa taarifa zaidi ,pia wiki hili yupo mwakilishi wa chuo iringa hapa anaweza kukusaidia kujisajili moja kwa moja. Kumbuka vyuo vyote hivi vipo kwenye fukwe za bahari maeneo mazur kujisomea na upepo mwanana.karibu sana Nisaidie kushare ili wahusika wengi zaidi ujumbe huu uwafikie. Asante!!

MATOKEO KIDATO CHA SITA , NA UALIMU2017

Ikiwa  tovuti ya wizara ina jam basi nimekuletea matokeo yote hapa, matokeo hayo yametoka leo july 15 2017  kwa wanafunzi ambao walihitimu kidato cha sita mwezi may 2017 wasichana wameongoza na tayari kujiunga na vyuo mbalimbali, Iringa jamii blog inaomba saport yako ya kutembelea blog hii mara kwa mara maana itakuunganisha kwa urahisi na kukupa ushauri namna ya kuchagua kozi itakayo kufaa, kwa kozi zote kulingana na masomo uliyo soma, 0657375592 . Tunaomba saport yako ndugu kwa ajili ya blog yako. pia matokeo ya ualimu kuanzia ngazi ya certificate na diploma yametoka  karibu sana uone, kutazama matokeo hayo KIDATO CHA SITA BONYEZA HAPA , UALIMU GRADE "A" , UALIMU DIPLOMA

AJIRA, AJIRA, AJIRA, AJIRA!!

REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref. No. EA.7/96/01/138 20th June, 2017 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of the Prime Minister’s Office, Labour, Youth, Employment and Persons with Disability and The Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to apply for the post of Chief Executive Officer of the Occupational Safety and Health Authority (OSHA) and other 40 posts of different cadres for the Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) respectively. 1.0 CHIEF EXECUTIVE OFFICER OF THE OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA) - RE-ADVERTISED 1.1 BACKGROUND The Government through the Public Service Reform Programme (PSRP) established Occupational Safety and Health Authority under the Executive Agency Act No. 30 of 1997. Occupational Safety and Health Agency was officially launched on 31st August, 2001. It has been set up with the aim of improving the health and we...

MAJINA YA WAHITIMU KIDATO CHA SITA KUJIUNGAA JKT AWAMU YA PILI JUNE 2017

TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linapenda kuutaarifu umma kuwa limeongeza majina ya vijana waliohitimu elimu ya kidato cha sita mwezi Mei 2017 kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria. Vijana hao wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 13 Juni 2017 hadi tarehe 20 Juni 2017. Mkuu wa JKT, kwa mara nyingine tena, anawakaribisha vijana wote waliochaguliwa ili waweze kujiunga na vijana wenzao katika kujifunza uzalendo, umoja wa kitaifa, stadi za kazi, stadi za maisha na utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu. Orodha kamili ya majina ya vijana hao walioongezwa, maeneo ya makambi ya JKT waliyopangiwa na vifaa wanavyotakiwa kwenda navyo inapatikana katika tovuti ya JKT ambayo ni www.jkt.go.tz . Usomapo tangazo hili mtaarifu na mwenzio. DOWNLOAD HAPA   YOTE AU BONYEZA HAPA KUYAONA MAJINA

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2017/2018

ENDELEA NAYO ; Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) George Simbachawene ametoa idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017 huku jumla ya wanafunzi 2,999 wakiachwa. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi ws habari na kusema kuwa ufaulu kwa mwaka huu umeongezeka kwa asilimia 3.75 ukilinganisha na matokeo ya mwaka 2015. Waziri amedai kati ya wanafunzi 96,018 waliofaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu ni wanafunzi 93,019 tu ndiyo waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi. Waziri Simbachawene amesema kuwa jumla ya watahiniwa wote waliofanya mtihani wa kidato cha nne kwa shule kwa mwaka 2016 ni 349,524 huku waliofanya mtihani wa kujitegemea ni 47,751 ambapo watahiniwa waliofanya mtihani wa shule waliofaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu ni 96,018 sawa na asilimia 27.60 ya watahiniwa waliofanya mtihani Tanzania Bara. Simbachawene alisema kuto...

TAREHE YA KURIPOTI KAMBINI KWA JKT YASOGEZWA MBELE

Kama ilivyo kawaida kwa kila mwaka wahitimu wa kidato cha sita muda mfupi tu baada ya kuhitimu masomo yao jeshi la kujenga taifa huwachagua vijana hao kupata mafunzo hapa JKT IMELETA HII  TAARIFA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA UMMA​ Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria. Sanjari na Uchanguzi huo, JKT limewapangia Makambi watakayokwenda kupatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu na wanatakiwa kuripoti Makambini kuanzia tarehe 25 – 30 Mei 2017. Aidha  leo tarehe 31 may jkt imeongeza muda wa kuripoti katika kambi walizopangiwa ambapo mwisho wa kuripoti ni tarehe  09/june/2017. Vijana waliochanguliwa, wamepangiwa katika kambi za JKT Rwamkoma – Mara, JKT Msange – Tabora, JKT Ruvu – Pwani, JKT Makutopora – Dodoma, JKT Mafinga – Iringa, JKT Mlale – Ruvuma, JKT Mgambo na JKT Maramba – Tanga, JKT Makuyuni ...

MAJINA YA WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2017 KURIPOTI JKT KWA MUJIBU

Kama ilivyo kawaida kwa kila mwaka wahitimu wa kidato cha sita muda mfupi tu baada ya kuhitimu masomo yao jeshi la kujenga taifa huwachagua vijana hao kupata mafunzo hapa JKT IMELETA HII  TAARIFA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA UMMA​ Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria. Sanjari na Uchanguzi huo, JKT limewapangia Makambi watakayokwenda kupatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu na wanatakiwa kuripoti Makambini kuanzia tarehe 25 – 30 Mei 2017. Vijana waliochanguliwa, wamepangiwa katika kambi za JKT Rwamkoma – Mara, JKT Msange – Tabora, JKT Ruvu – Pwani, JKT Makutopora – Dodoma, JKT Mafinga – Iringa, JKT Mlale – Ruvuma, JKT Mgambo na JKT Maramba – Tanga, JKT Makuyuni – Arusha, JKT Bulombora, JKT Kanembwa na JKT Mtabila – Kigoma. Aidha, wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho (physical disabilities)...